“ NIKIRUDI TANZANIA SITAKI MAPOKEZI KWA SABABU WATANZANIA NI WANAFIKI ”- AGNESS MASOGANGE

http://3.bp.blogspot.com/-ygWmcEyxDsI/UdFZEoF91HI/AAAAAAAAh60/uF0s_cYPPgs/s523/AGNES-2.jpg 
 https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-prn1/311727_245142008854875_176875978_n.jpg

Mtanzania Agnes Gerald, maarufu Masogange, ameachiwa huru na Mahakama ya Kempton ya jijini Johannesburg, baada ya kulipa faini ya R30,000 (Sh4.8 milioni) kwa kosa la kubeba kemikali zinazotumika kutengeneza dawa za kulevya.

Lakini hata hivyo kwa mujibu chanzo chetu toka kwa mtu wa karibu na familia yake, Masogange amesema hatohitaji mapokezi yoyote pindi atakapowasili nchini kwa vile hao wanaopanga mapokezi ndio wanafiki wakubwa ambao walikuwa wanashangilia alipokuwa jela.

0 comments: