HAWA NDIO WATU MAARUFU WALIOFARIKI KWENYE WESTGATE MALL NCHINI KENYA

Ruhila aliolewa mwaka jana
Takriban watu 62 wameuawa kwenye mashambulizi ya kigaidi nchini Kenya dhidi ya jengo la kifahari lenye maduka zaidi ya themanini la Westgate.

Ruhila Adatia-Sood

Ruhila Adatia-Sood na mumewe Ketan Sood Ruhila Adatia-Sood walioana tu mwezi Januari mwaka jana.
Ruhila, alikuwa katika ghorofa ya juu ya duka la Westgate ambako alikuwa miongoni mwa watu waliokuwa wameandaa mashindano ya upishi kwa watoto.
Alikuwa ameolewa na Ketan Sood, aliyefanya kazi na shirika la USAid mjini Nairobi mwezi Januari mwaka 2012,na harusi yake ilitajwa kuwa harusi ya kiswahili ambayo ilisherehekewa kwa siku tatu.
Alikuwa mjamzito na mimba ya miezi sita alipofariki.
Kulingana na ripoti Adatia-Sood alikimbizwa hospitalini , lakini alifariki baada ya kuwasili kutokana na kuvuja damu nyingi.
Alisifika kote nchini kwa moyo wake mzuri wa kuwafanya watu kutabasamu daima.
Polisi wakikabiliana na wanamgambo hao waliokuwa wameteka jengo la Westgate
Kwenye ukurasa wake wa Twitter alijitaja kuwa mpenda chakula na mtu mwenye kufurahia michezo ya kusisimua.
Alisomea katika chuo kikuu cha Rhodes nchini Afrika Kusini , na dada zake watatu wamemtaja kama mtu mwenye ari kubwa maishani.
Pia alikuwa mtangazaji wa kituo cha redio cha East FM na pia alitangaza habari kwenye kituo cha televisheni ya Kiss.
Magaidi waliwarushia magurunedi Rahila na mtangazaji mwenzake pamoja na watoto waliokuwa ndani ya jengo hilo lakini Ruhila hakuponea. Mwenzake Kamal Kaur, pia mtangazaji wa redio alikuwa ameambatana na watoto wake ambao walifyatuliwa risasi ingawa ziliwakosa na kumgonga mtoto aliyekuwa karibu nao. Wao walijeruhiwa miguuni.
Kaur na wanawe walifanikiwa kukimbilia usalama wao.

Mbugua Mwangi and Rosemary Wahito

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta pia aliwapoteza jamaa zake katika shambulizi hilo. Mbugua Mwangi ni mpwa wa Kenyatta na alikuwa na mchumba wake Rosemary Wahito wakati waliposhambuliwa kwa risasi na kuuawa papo hapo.
Akihutubia taifa, Kenyatta alisema kuwa, "ninamuomba Mungu awape utulivu wakati sote tukikumbwa na msiba huu na ninajua mnachokihisi hasa ikiwa umempoteza jamaa wako katiakshambulizi hili baya.''
Kulingana na taarifa ya jarida la nchini Ireland, mamake Mwangi, Catherine Muigai Mwangi, ndio alikuwa tu amerejea kutoka Dublin ambako alikuwa balozi wa Kenya kwa miaka sita .
Dadake mkubwa Rais Kenyatta Christine Wambui Pratt pia alikuwa katika jengo hilo lakini alifanikiwa kunusuru maisya yake.

Mitul Shah

Mitul Sha alipenda sana soka
Mitul Shah Mitul Shah alikuwa mkuu wa timu ya soka ya kampuni yake ambayo inacheza katika divisheni ya pili.
Afisaa mkuu mtendaji wa mauzo katika kampuni ya Bidco, ambayo hutengeza mafuta ya kupikia, Mitul Shah alikuwa katika ghorofa ya juu zaidi ya jengo hilo.
"Alifariki akijaribu kuwaokoa watoto waliokuwa wamekwama ndani ya jengo hilo. Kwa marafiki wa Mitul, alifariki kama shujaa .
Rafiki zake wamemtaja kama shabiki sugu wa Manchester United.
Pia alikuwa mwenyekiti wa timu ya soka ya Bidco.

Joyti Kharmes Vaya na Maltiben Ramesh Vaya ambao ni wifi

Mazishi ya Joyti Kahrmes Vaya na Maltiben Ramesh Vaya
Joyti Kharmes Vaya alikuwa na umri wa miaka 37 mwenye watoto watatu, ambaye mumewe alifanya kazi katika benki ya Victoria Commercial bank.
Maltiben Ramesh Vaya alikuwa na miaka 41 , mama wa watoto wawili aliyefanya kazi katika Benki ya Baroda.
Wawili hao walikufa kutokana na majeraha waliyopata, kutoka na risasi

Kofi Awoonor

Raia wa Ghana mwenye umri wa miaka 78 malenga anayesifika sana. Anasifika nyumbani kwao kama mwandishi ambaye vitabu vyake vinatumiwa katika shule nyingi nchini Ghana.
Alikuwa mjini Nairobi kushiriki hafla ya Storymoja na alitarajiwa kutumbuiza watu siku ya Jumamosi.
Alisifika kwa nyimbo na mashairi yake mapema miaka ya sitini.
Miaka ya sabini alifunza katika baadhi ya vyuo vikuu nchini Marekani na kurejea Ghana mwaka 1975 kuchukua wadhifa wa mwalimu wa lugha ya kiingereza katika chuo kikuu cha Cape Coast.
Katika muda wa miezi kadhaa, alikamatwa na kuzuiliwa kwa madai ya njama ya uhaini wakati wa utawala wa kijeshi wa Kanali Ignatius Acheampong.
Mwanawe Awoonor alikuwa naye wakati wa shambulii hilo mjini Nairobi na alipigwa risasi mkononi wakati wa shambulizi hilo

0 comments:

BAADHI YA PICHA NA JINSI TUKIO LA KUVAMIWA SUPER MARKET YA WESTGATE HUKO NAIROBI WESTLANDS

Kwa mujibu wa taarifa za sasa, takriban watu 20 wameripotiwa kuuawa na wengine 50 kujeruhiwa wakati ambapo mapambano ya bunduki yanaendelea kati ya polisi na watu hao wenye silaha walioiteka mall ya Westgate jijini Nairobi, Kenya.
article-2427892-1822C8DC00000578-605_638x365
Majeruhi wakisaidiwa kutoka kwenye eneo hilo
Shuhuda mmoja anadai aliwasikia watu hao wakiwaambia waislam wasimame na kuondokoa na kwamba wasio waislamu pekee ndio waliwalenga.
article-2427892-1822BC1B00000578-787_638x390
Majeruhi
Askari wa ulinzi walionekana wakitoa miili iliyotapakaa damu ikiwa imeweka kwenye matoroli ya supermarket.
_70036397_019379281-1
Huduma ya kwanza ikitolewa kwa majeruhi
Balozi wa Uholanzi nchini humo Rob Vandijk ameliambia shirika la AP kuwa alikuwa akipata chakula kwenye mgahawa uliomo ndani ya mall hiyo pindi watu hao wenye silaha waliporusha bomu hilo. Polisi wameizingira mall hiyo na harakati za kuwakomboa watu walioshikiliwa mateka kwenye mall hiyo zinaendelea.
article-2427892-1822C3CD00000578-409_638x397
Askari polisi akijiweka sawa
1Nairobi_2678725c
Ndugu wa baadhi ya watu walio ndani ya mall hiyo wakiwa na majonzi
Mall hiyo ni maarufu kwa kuwa na wateja wengi wenye kipato cha juu nchini humo na raia wa kigeni. Polisi imewataka wananchi wakae mbali na eneo hilo kwakuwa bado ni hatari.
article-2427892-1822BF2200000578-349_638x323
Polisi wakisaidia watu kutoka ndani ya mall hiyo
article-2427892-1822BF8200000578-325_638x377
Sababu za shambulio hilo hazijafahamika lakini vyombo vya habari nchini humo vinasema kundi hilo laweza kuwa magaidi ama majambazi walioenda kupora.
article-2427892-1822C0C100000578-913_638x584
article-2427892-1822C1E200000578-245_638x657
article-2427892-1822C59400000578-331_638x471
article-2427892-1822CB1C00000578-264_638x399

0 comments:

“ NIKIRUDI TANZANIA SITAKI MAPOKEZI KWA SABABU WATANZANIA NI WANAFIKI ”- AGNESS MASOGANGE

http://3.bp.blogspot.com/-ygWmcEyxDsI/UdFZEoF91HI/AAAAAAAAh60/uF0s_cYPPgs/s523/AGNES-2.jpg 
 https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-prn1/311727_245142008854875_176875978_n.jpg

Mtanzania Agnes Gerald, maarufu Masogange, ameachiwa huru na Mahakama ya Kempton ya jijini Johannesburg, baada ya kulipa faini ya R30,000 (Sh4.8 milioni) kwa kosa la kubeba kemikali zinazotumika kutengeneza dawa za kulevya.

Lakini hata hivyo kwa mujibu chanzo chetu toka kwa mtu wa karibu na familia yake, Masogange amesema hatohitaji mapokezi yoyote pindi atakapowasili nchini kwa vile hao wanaopanga mapokezi ndio wanafiki wakubwa ambao walikuwa wanashangilia alipokuwa jela.

0 comments:

FAHAMU ZAIDI KUHUSU AL SHABAAB,NI NANI HASA?


Wapiganaji wa Al Shabaab
Kundi la wapiganaji wa kisomali la al-Shabaab,limevamia jumba la kifahari lenye maduka na mikahawa nchini Kenya. Al Shabaab lenya mizizi yake nchini Somalia, limeweza kuondolewa kutoka miji mikubwa ya Somalia ikiwemo Mogadishu na sehemu zengine za Somalia , ingawa bado linasalia kuwa tisho kubwa kwa kanda nzima. 

Al Shabaab ni nani?
Jina Al-Shabab linamaanisha Kijana kwa lugha ya kiarabu. Kundi hilo liliibuka kama tawi la vijana la muungano wa mahakama za kiislmau ambao baadaye ulivunjika mwaka 2006, wakati ilipopigana na wanajeshi wa Ethiopia waliokuwa wameingia nchini Somalia kuunga mkono serikali iliyokuwa dhaifu.

Kuna taarifa chungu nzima kuhusu wapiganaji wa kiisilamu wanaokwenda Somalia kupigania Al Shabaab.

Kundi hilo limeweka sheria kali za kiisilamu katika maeneo ambayo linadhibiti ikiwemo kupigwa kwa mawe hadi kufa wanawake wanaodaiwa kufanya uasherati pamoja na kuwakata wezi mikono. 

Je Al Shabaab linadhibiti sehemu gani ya Somalia?
Ingawa kundi hilo limepoteza udhibiti, wa miji mikubwa, bado linakita mizizi katika maeneo ya mashinani.

Lililazimika kuondoka katika mji mkuu Mogadishu, mwezi Agosti mwaka 2011 na pia kuondoka katika mji wa bandarini wa Kismayo mwezi Septemba mwaka 2012.

Kismayo ulikuwa mji muhimu kwa kundi hilo, ambao ulikuwa unawezesha bidhaa kuwafikia wapiganaji wa kundi hilo pamoja na kuwatoza watu ushuru kwa shughuli zao.


Hizi ni silaha za Al Shabaab walizonasa wanajeshi wa AU

Muungano wa Afrika, ambao unaunga mkono juhudi za majeshi ya serikali, ulisherehekea ushindi huo ingawa al-Shabab hunfanya mashambulizi ya mara kwa mara ya kujitoa mhanga mjini Mogadishu na kwingineko.

Wadadisi wanaamini kuwa al-Shabab limeanza kufanya mashambulizi ya kuvizia baada ya kushindwa na majeshi ya Muungano wa Afrika wanaotumia nguvu dhidi yao.

Lakini linakabiliwa na tisho kubwa kutoka kwa wanajeshi wa Kenya walianza hatarakti zao dhidi ya kundi hilo kuanzia mwaka 2011.

Kenya ilituhumu wapiganaji wa al-Shabab kwa kuwateka nyara wanajeshi wake pamoja na watalii na sasa wamekuwa katika msitari wa mbele kupambana na kundi hilo la kigaidi.

Wakati huo, wanajeshi wa Ethiopia waliweza kukabiliana na wapiganaji hao na kudhibiti miji ya Beledweyne na Baidoa.

Nani kiongozi wa al-Shabab?
Ahmed Abdi Godane ndiye kiongozi wa kundi hilo. Anajulikana kama Mukhtar Abu Zubair, na anatoka katika jimbo la Somaliland.

Kumekuwa na taarifa za mgawanyiko katika kundi hilo, ambazo hata hivyo zinapingwa vikali na kundi lenyewe. Inaarifiwa kuwa uongozi wake unapingwa, na wanachama wanaotoka maeneo ya Kusini na ambao ni wengi katika kundi hilo. Inakisiwa idadi yao ni kati ya wanajeshi 7,000 na 9,000.

Bwana Godane huwa haonekani hadharani . Mtangulizi wake Moalim Aden Hashi Ayro, aliuawa katika shambulizi lililofanywa na Marekani mwaka 2008. 

Nini uhusiano wa kimataifa wa kundi hilo?


Al Shabaab wakifanya mashambulizi mjini Mogadishu
Al-Shabab lilijiunga na al-Qaeda mwezi Februari mwaka 2012. Katika ujumbe wa Video, kiongozi wa al-Shabab Ahmed Abdi Godane alisema anaahidi kuunga mkono kingozi wa al-Qaeda Ayman al-Zawahiri.

Makundi hayo mawili yamekuwa yakifanya kazi kwa pamoja, na raia wa kigeni wamekuwa wakiunga mkono kundi hilo, na hata kuwasaidia katika harakati zao za mapigano.

Mwaka jana maafisa wa al-Shabab waliambatana na mtu aliyesema ni mwanachama wa al-Qaeda na kumtambua kuwa raia wa Marekani Abu Abdulla Almuhajir alipokuwa anatoa msaada wa chakula kwa waathiriwa wa njaa.

Maafisa nchini Marekani wanaamini kuwa wapiganaji wa Al Qaeeda ambao hawajahusina sana na mashambulizi nchini Afghanistan na Pakistan kufuatia mauaji ya kiongozi wao,Osama bin Laden, wapiganaji wake wengi wanakwenda kutafuta hifadhi nchini Somalia.

0 comments:

TAZAMA KINACHO ENDELEA NCHINI KENYA SASA, RISASI ZARINDIMA NA MOSHI MKUBWA WAONEKANA NJE YA JENGO

Dead: Ross Langdon, an architect with dual British-Australian nationality was killed alongside his girlfriend Elif Yavuz who was just two weeks away from giving birth
Dead: Ross Langdon, an architect with dual British-Australian nationality was killed alongside his girlfriend Elif Yavuz who was just two weeks away from giving birth


Militants inside Westgate Shopping Centre have threatened to kill the remaining hostages as Kenyan security personnel try to end the siege (pictured)
Militants inside Westgate Shopping Centre have threatened to kill the remaining hostages as Kenyan security personnel try to end the siege (pictured)
Kenya Security personnel take cover outside the Westgate Mall.

Kenya Security personnel take cover outside the Westgate Mall. Islamist terror group Al Shabaab claimed it carried out the atrocity in which three Britons were killed and 175 people were left injured
Kenyan military said last night that 'most' of the hostages have been freed but a spokesman admitted today that the situation is still not clear
Kenyan military said last night that 'most' of the hostages have been freed but a spokesman admitted today that the situation is still not clear
Militants inside the shopping centre said hostages would 'bear the brunt' of any action by the Kenyan military
Militants inside the shopping centre said hostages would 'bear the brunt' of any action by the Kenyan military
Terror link: Samantha Lewthwaite, 29, originally from Buckinghamshire, was described as a 'brave lady' by Islamist terror group Al Shabaab
Terror link: Samantha Lewthwaite, 29, originally from Buckinghamshire, was described as a 'brave lady' by Islamist terror group Al Shabaab


Terrified children wait by the body of a man after escaping from the shopping centre. Militants have today threatened to kill the remaining hostages

Terrified children wait by the body of a man after escaping from the shopping centre. Militants have today threatened to kill the remaining hostages
Fleeing: A child runs to safety across the shopping mall following the deadly attack in Nairobi, Kenya

Fleeing: A child runs to safety across the shopping mall following the deadly attack in Nairobi, Kenya. Three Britons have been killed in the attack
Terror: Armed police guide a woman carrying a child to safety at Westgate shopping centre in Nairobi

Terror: Armed police guide a woman carrying a child to safety at Westgate shopping centre in Nairobi

0 comments:

TAZAMA PICHA ZA SIMBA ALIE SUMBUA NA KUUWA MIFUGO MJINI MOROGORO BAADA YA KUULIWA

Kwa kimombo tunaiita 'life and death', Simba aliyetumia fursa vizuri kwa kujilia mbuzi 47 ameyaonja mauti baada ya kupigwa hadi kufa na Askari wanyamapri.
 
 Simba huyo ambaye amesumbua kwa muda mrefu Mkoani humo maaskari Wanyamapori Mkoani Morogoro wamemwinda na kumuua simba huyo aliyetafuna mbuzi 47 katika Mlima Uluguru eneo la kijiji cha Bagilo kata ya Kinole, Tarafa ya Mkuyuni Mkoani humo.






 
 Askari wanyamapori Wakimchuna ngozi simba



Picha na Lusajo Mwakibinga FB

0 comments:

KENYA WATU 68 WALIPOTIWA KUPOTEZA MAISHA MPAKA SASA


Rescue mission: An image from AFP TV shows military forces taking position inside the shopping mall
Rescue mission: An image from AFP TV shows military forces taking position inside the shopping mall
Tense: Kenyan paramilitary officers walk towards a small shopping arcade adjacent to the Westgate shopping mall where the hostage situation continues
Tense: Kenyan paramilitary officers walk towards a small shopping arcade adjacent to the Westgate shopping mall where the hostage situation continues
Armed response: Kenyan troops with machine guns take position in the mall
Armed response: Kenyan troops with machine guns take up position in the mall
Tense: Soldiers from the Kenya Defense Forces walk out of the mall, following the sound of explosions and gunfire
Tense: Soldiers from the Kenya Defense Forces walk out of the mall, following the sound of explosions and gunfire
Lock-down: Kenya security personnel walk to their positions outside the shopping mall
Lock-down: Kenya security personnel walk to their positions outside the shopping mall as the siege continues

Injured people cry for help after gunmen went on a shooting spree in the Westgate shopping centre in Nairobi
A woman holds a baby sitting with other injured people who are crying for help after gunmen went on a shooting spree in the Westgate shopping centre
Distressing: A woman holds a baby sitting with other injured people who are crying for help after gunmen went on a shooting spree in the Westgate shopping centre
Response: Soldiers take positions outside the shopping centre in Nairobi. Dozens of people have been killed after masked gunmen stormed the mall and held shoppers
Response: Soldiers take positions outside the shopping centre in Nairobi. Dozens of people have been killed after masked gunmen stormed the mall and held shoppers
Shock: A soldier directs people up stairs inside the Westgate shopping mall after a shootout in Nairobi, Kenya. Gunmen had fired automatic weapons and grenades
Shock: A soldier directs people up stairs inside the Westgate shopping mall after a shootout in Nairobi, Kenya. Gunmen had fired automatic weapons and grenades
Soldiers from the Kenya Defence Forces (KDF) arrive at the Westgate Shopping Centre in the capital Nairobi
Hunting down the terrorists: Soldiers from the Kenya Defence Forces arrive at the Westgate Shopping Centre in the capital Nairobi
Help: Relatives and friends of victims line up to donate blood in Nairobi, following the overwhelming numbers of casualties from the Westgate mall shooting
Help: Relatives and friends of victims line up to donate blood in Nairobi, following the overwhelming numbers of casualties from the Westgate mall shooting

Ordeal: People come out from hiding under a car next to bodies in a car park as police search for the armed radicals
Ordeal: People come out from hiding under a car next to bodies in a car park as police search for the armed radicals
Led to safety: An image grab taken from AFP TV shows civilians being evacuated from the mall
Led to safety: An image grab taken from AFP TV shows civilians being evacuated from the mall
The security operation is ‘delicate’ because Kenyan forces hoped the hostages were evacuated safely, said Interior Cabinet Secretary Joseph Lenku.

Siege: People look at the Westgate shopping mall in the distance where hostages are being held for the second day
Siege: People look at the Westgate shopping mall in the distance where hostages are being held for the second day
Escape: This family, who had been trapped inside the shopping centre, support each other as they escape from the scene
Escape: This family, who had been trapped inside the shopping centre, support each other as they escape from the scene
Jason Straziuso said: 'I'm 300 meters from mall when blast went off. Eery silence afterward. One short gunfire burst. 
'That last big blast far larger than any explosion I'm last 30 hours. No idea what caused it.'
Prime Minister David Cameron said: 'It is an absolutely sickening and despicable attack of appalling brutality.'
As the massacre unfolded witnesses described terrifying scenes in which men, women and children of all ages and nationalities were brutally cut down.
The mall, a popular haunt for rich Kenyans and expats, was dotted with bodies lying in pools of blood. 
Some victims were shot dead as they sat in their cars, while others have been left with horrific injuries.
Mr Kenyatta has pledged to hunt down and punish the terrorists behind the brutal attack in upmarket Nairobi, in which a further 150 people were injured.
Horror: Shoppers hurry down an escalator with their hands in the air as they make their way out of the shopping centre to safety
Horror: Shoppers hurry down an escalator with their hands in the air as they make their way out of the shopping centre to safety
Army: Soldiers were drafted in to help police tackle the gunmen, who are now known to be terrorists from the Somali al-Shabaab organisation, which has links to al-Qaeda
Army: Soldiers were drafted in to help police tackle the gunmen, who are now known to be terrorists from the Somali al-Shabaab organisation, which has links to al-Qaeda
Shootout: Soldiers and armed police fire at the suspected terrorists as they try to wrest back control of the shopping centre
Shootout: Soldiers and armed police fire at the suspected terrorists as they try to wrest back control of the shopping centre
In a national televised address he said that his nephew and his nephew's fiancée, whom he 'knew and loved', were both killed by the radicals.
Somali-based militant group al-Shabaab claimed responsibility for the outrage at the mall in the affluent Westlands district of the capital. 
'The priority is to save as many lives as possible'
Interior Cabinet Secretary Joseph Lenku
A Foreign Office spokesman said that three British nationals are confirmed dead and that the next of kin of those nationals have been informed.
The Government’s crisis committee (COBR), chaired by Foreign Secretary William Hague, met earlier today to discuss the incident.
The Labour Party conference in Brighton paused for a minute's silence as news of the deaths filtered through, with Ed Miliband among those reflecting.
He said: 'This is an appalling attack which has left three British citizens and many others dead. Our thoughts are with the families of the victims and the others caught up in this dreadful atrocity. 
'Those who carried out this attack will be condemned across the globe. The cold-blooded killing of innocent women, children and men is as despicable as it is shocking.'
Desperation: A crowd of people hold their arms out to catch a Kenyan woman as she jumps out from the air vent where she had been hiding from the gunmen
Desperation: A crowd of people hold their arms out to catch a Kenyan woman as she jumps out from the air vent where she had been hiding from the gunmen
Emergency: A Red Cross assistant helps a child outside who was among those caught in the shooting
Emergency: A Red Cross assistant helps a child outside who was among those caught in the shooting

0 comments: